slide show

Monday, June 10, 2013

IFAHAMU TAREHE AMBAYO VIDEO YA MBEYA ALL STARZ ITAFANYIKA KAZI NA MPANGO MZIMA UTAKAVYO KUWA


Baada ya kusumbua na wimbo wa Mbeya Nyumbani 
na Salamu toka Mbeya huu ndio ujio mpya wa 
Mbeya all starz, ambapo kwa sasa wataanza na Video
halafu itafata audio,Mpango mzima wa audio unafanyiwa ktk
studio mpya iitwayo G2G Records, chini ya Prodyuza Losso,
akishirikiana na Prodyuza Ahazi, japo kwa asilimia 90, mzigo
mzima unasimamiwa na Prodyuza Losso,


Kutoka kushoto ni Zimwi Zivuva, Doctor Fazi, Danzi, Sanluu, 
Producer Losso kabla ya recording  

Prodyuza Losso mna Producer Ahaz, wakimalizia editing ya 
wimbo mpya wa Mbeya all starz (Blessed) 
ambao upo ktk mahadhi ya tofauti mno
Pia wasanii wanahitaji ongezeko la Models wa video wa video ya 
Wimbo huu ambayo itafanyika tarehe
13 na 14 hapa jijini Mbeya chini ya Kampuni mbili za ambazo
ni Disturbing Tzee Video Company na Mashada Inc Videoz 

Doctor Fazi, Losso na Ahaz,
 
Kama wewe ni model na ungependa kushriki katika hizi video 2 
waweza kuwacheki watu wafuatao 
  http://www.facebook.com/Doctorfazi  - 0652384615,
au http://www.facebook.com/Concluder- 0654079930
au http://www.facebook.com/producerlosso -0768540772


Akiongea na Mwandishi wa Blog hii kiongozi kwa kundi hilo aitwaye
Doctor Fazi amesema ktk video hii watashirikishwa Ma Djz na
Watangazajiwa Redio zote za Green City pia Wadau wa 5 
wanaosapoti mno muziki wa Mbeya,

 Wasanii wa Mbeya all Starz ktk pozi, Mungu
 ibariki Mbeya, Mungu ibariki Tanzania

No comments:

Post a Comment

comments

***