slide show

Wednesday, January 16, 2013

UTAMBUE WASIFU WA MWIMBAJI ENIKA PAMOJA NA HISTORIA YAKE

Enika
Jina lake Kamili: Atuganile A Bukuku
Jina la Kisanii: Enika
Tarehe ya Kuzaliwa;1982
Nyumbani; Mbeya Block T,
Record Label; G2
Meneja wake: Nasobile Gallen
Anakoishi kwa sasa: Dar es Salaam
Namba zake Kikazi ni: 0713640878

Nyimbo yake ya kwanza kumtoa iliitwa Baridi kama hii aliyoitoa 2004, Aliyoifanya katika studio ya G2 Record iliyokua chini ya marehem Kaka yake Roy Bukuku, nyimbo hii  ilikua ktk mahadhi ya Soul&Jazz/ pia vionjo vya R&B, Pia mwaka 2009 alifanikiwa kufanya Collabo na Rapper Mkali wa Kenya aitwae Jua Kali, baada ya hapo pia alitoa wimbo uitwae Changanya Changanya..


Enika ambaye pia huvutiwa na waimbaji kama Mfalme wa Pop Michael Jackson;

Mwanamuziki mwingine ambaye humvutia Enika ni Jonathan Butler,
 

Pia Enika huvutiwa na Uwezo wa Mwanamuziki wa Asili wa Tanzania aitwae Carola kinasha 

Hapa Carola Kinasha akiperform nyimbo za Kitanzania


Pia ni Enika Ndugu wa Evans Bukuku muendeshaji wa Kipindi cha Vuvuzela Comedy kinachorushwa na Clouds TV
Nje ya uwezo mkubwa wa Kuimba Enika pia ni Mtunzi, Mwandishi, pia anauwezo wa kuperform live kwa vyombo, na kipaji chake kilianza tangu alipokua na miaka 11, ambapo pamoja na kuwa na umri mdogo alikua kiongozi wa ktk kundi la muziki la Shule alipokua A level ktk Shule ya MCF Kilimanjaro Academy,  Baadae alifanikiwa kushiriki ktk (music/theatre/dance) huko Uholanzi na Ubelgiji ambapo alishiriki ktk show zaidi ya 186 Akishirikiana kwa ukaribu na Kaka yake mmiliki wa Kundi la vichekesho Evans Bukuku’.



5 comments:

  1. Namfagilia sana Enika! Sauti yake ina mvuto fulani. Ajitahidi kupata promotion

    ReplyDelete
  2. Nampa shavu sana cstar angu enika sema natafuta sana wimbo wake wa "boga langu"0782637275

    ReplyDelete
  3. Nampa shavu sana cstar angu enika sema natafuta sana wimbo wake wa "boga langu"0782637275

    ReplyDelete
  4. Nampa shavu sana cstar angu enika sema natafuta sana wimbo wake wa "boga langu"0782637275 atansaidije coz kajaza knomanoma

    ReplyDelete
  5. Namkubali sana! Kuna wimbo aliwahi imba na Joh Makini, nimeutafuta sana , siiuoni.

    ReplyDelete

comments

***